KOFIH -YATOA MSAADA TUMBI

Posted on: September 18th, 2019

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani Dr Gunin Kamba katikati   amepokea msaada wa vifaa vya radiolojia kutoka kwa shirika la Korea-Kofih mapema leo tarehe 27.9.19.Msaada huo ni muhimu sana  ikizingatiwa kuwa hospitali ya Tumbi ipo pembezoni mwa barabara kuu  ya morogoro ambayo inakumbwa na ajali za mara kwa mara hivyo majeruhi wengi wanakuwa wakihitaji kupatiwa huduma hasa za X-Ray .