Our Services

We receive referral cases from surrounding health centers and dispensaries as we as self-referrals. Most of which are medical emergency cases

  1. To name a few- Hypertensive Urgency/emergency
  2. Cardiovascular events
  3. Diabetes Mellitus with acute/chroni...
readmore

KLINIKI YA HUDUMA NA KINGA (CTC)

Kituo cha ushauri nasaha na kupima cha hospitali ya rufaa ya mkoa wa pwani kilianza kazi rasmi tarehe 15  Juni,2005.Kituo kilianza na chumba kimoja kikiwa na jumla ya  wateja wapatao 10.Mwaka mmoja baadae kulifanyika ju...

readmore

IDARA YA WAGONJWA WA NJE (OPD), DHARURA NA AJALI

Idara hii ni moja kati ya Idara zilizokamilika na kujitosheleza kihuduma. Katika mwaka huu 2022, Hospitali yetu ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani – Tumbi, kitengo cha majeruhi (Casualty) kilifanyiwa marekebisho ...

readmore

Maabara ya Hospitali ya rufaa ya mkoa wa pwani-Tumbi inasaidia kutoa huduma kwa wagonjwa kwa kufanya vipimo mbali .

Idara imejizatiti kutoa huduma sahihi,inayoaminika na kwa wakati katika maeneo ya Kutoa sampuli,uchunguzi Hematolojia,Kemia uhai,Uchangi...

readmore

This department renders radiological services to all patients who need such services on inpatient and outpatient basis. It uses medical imaging to diagnose and treat diseases. Some of the Services includes:

  1. Ultra sound - diagnoze Obstetric USS, Abdo...
readmore

KITENGO CHA DAMU SALAMA

Kitengo cha Damu salama  hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani-Tumbi kilianzishwa rasmi mwaka……………..Kitengo hiki kipo chini ya maabara kuu ya hospitali ya mkoa wa Pwani-Tumbi na kinashughulikia maswala ya utoaji  wa huduma ya damu...

readmore

kliniki ya methadoni ni moja ya kliniki zinazofanyakazi siku saba kwa wiki (Kila siku) matibabu ya emthadone hutolewa kwa waraibu wa dawa za kulevya ambao wameamua kuachana na madawa ya kulevya na kujiunga na mpango wa matibabu maarufu kama MAT. katika kl...

readmore